Audio: Diamond Platnumz ashinda Tuzo za Kora au achaguliwa katika tuzo hizo? Babu Tale aongea

Meneja wa Diamond, Babu Tale alitupia certificate kutoka Kora kwenda kwa Diamond ambayo ilikuwa ikimthibitisha Diamond kuchaguliwa katika top 20 za kora kwa wiki 13 mfululizo katika category ya Best Male Artist of East Africa
Watu wengi walishindwa kuelewa kama Diamond kashinda au ndio yupo kwenye category..Babu Tale ameiweka sawa.
"Jana mnano saa mbili usiku ya Tanzania niliona email kutoka Kora ambayo iliingia kwangu na kwa Diamond ambao inaonyesha kile ambacho nimekipost kwamba ni msanii bora wa kiume East Africa, ikabidi tuwaulize what is this, kwasababu sisi tulikuwa tunaona nominations na watu tulikuwa tunapiga kura, kwahiyo
wao kama wao tu wametuma hiyo certificate kama msanii bora wa kiume wa East Africa, lakini kuna email ambayo tunasubiria, i think sijui ni kwasababu ya mida yetu, lakini leo nafkiri watatuma meseji ku confirm kama ni tuzo kwetu au ni nini, kwasabau walitupigia simu kwamba tunatakiwa tufanye interview na watu wa kora kama vile drop ya ku record wakati Diamond yupo marekani, kwahiyo jana ndio wakatutumia ile, lakini ni kama award kumuonyesha Diamond ameshinda tuzo za Kora za msanii bora wa Africa Mashariki "

Comments