Video: 50 Cent aungana na Lloyd Banks, Tonny Yayo na Young Buck kwenye kwenye Summer Jam

imepita miaka sasa tangu kundi la G Unit kusambaratika na siku ya jana kwenye Summer Jam walionekana pamoja kwenye stage.
50 Cent, Lloyd Banks, Tony Yayo, na Young Buck walikaribishwa kwa shangwe la hatari la maelfu ya mashabiki waiojitokeza kwenye tamasha hilo ndani ya MetLife stadium. 


G-Unit walirudisha upendo wao kwa ku-perform ngoma zao kali kama “On Fire,” “So Seductive,” “Shorty Wanna Ride,” na  “I Smell P***y.” ambapo 50 pia alitangaza ujio wa album yake Animal Ambition ambayo itaingia sokoni wiki hii.

Comments