Huyu ni mwingine aliyetapeliwa kwa kutumia jina la msanii wa Bongo Fleva.

newsMatatizo ya utapeli kwa kutumia majina mbalimbali ya wasanii yamekuwa yakitolewa mara kwa mara hasa yakihusishwa na ufanyaji wa show,sasa hii unaambiwa kuna Promota ametapeliwa na Matonya ambaye alijifanya Ney wa Mitego,sikiliza kilichotokea.
matonya
104.4 Clouds Fm inasikika ukiwa Dodoma.
Bonyeza play kusikiliza.

Comments