
Matatizo
ya utapeli kwa kutumia majina mbalimbali ya wasanii yamekuwa yakitolewa
mara kwa mara hasa yakihusishwa na ufanyaji wa show,sasa hii unaambiwa
kuna Promota ametapeliwa na Matonya ambaye alijifanya Ney wa
Mitego,sikiliza kilichotokea.

104.4 Clouds Fm inasikika ukiwa Dodoma.
Bonyeza play kusikiliza.
Comments
Post a Comment